Skip to content
Zaburi 8:3-9

Zaburi 8:3-9

3
Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,
4
mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
5
Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
6
Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
7
Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
8
ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
9
Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options