Zaburi 8:5-8
5
Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
6
Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
7
Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
8
ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
Settings