Zaburi 8:9
Inaonyesha mstari 9 pamoja na muktadha unaouzunguka.
6
Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.
7
Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,
8
ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.
9
Ee Bwana, Bwana wetu, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
Settings