Skip to content
Zaburi 77:7-10

Zaburi 77:7-10

7
“Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?
8
Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele? Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?
9
Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
10
Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options