Skip to content
Zaburi 77:5-9

Zaburi 77:5-9

5
Nilitafakari juu ya siku zilizopita, miaka mingi iliyopita,
6
nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku. Moyo wangu ulitafakari na roho yangu ikauliza:
7
“Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?
8
Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele? Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?
9
Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options