Skip to content
Zaburi 77:10-15

Zaburi 77:10-15

10
Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
11
Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
12
Nitazitafakari kazi zako zote na kuyawaza matendo yako makuu.
13
Ee Mungu, njia zako ni takatifu. Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?
14
Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza, umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.
15
Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako, uzao wa Yakobo na Yosefu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options