Rukia maudhui
Zaburi 75:9-10

Ushindi wa Wenye Haki

Zaburi 75:9-10
9
Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
10
Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options