Rukia maudhui
Zaburi 74:1-3

Maombolezo kwa Mungu Kuwaacha Watu Wake

Zaburi 74:1-3
1
Utenzi wa Asafu. Ee Mungu, mbona umetukataa milele? Mbona hasira yako inatoka moshi juu ya kondoo wa malisho yako?
2
Kumbuka watu uliowanunua zamani, kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa: Mlima Sayuni, ambamo uliishi.
3
Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu, uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options