Rukia maudhui
Zaburi 72:8-11

Utawala wa Ulimwengu Wote na Kujitiisha

Zaburi 72:8-11
8
Atatawala kutoka bahari hadi bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.
9
Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.
10
Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali watamletea kodi; wafalme wa Sheba na Seba watampa zawadi.
11
Wafalme wote watamsujudia na mataifa yote yatamtumikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options