Skip to content
Zaburi 72:12-14

Zaburi 72:12-14

12
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
13
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
14
Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options