Rukia maudhui
Zaburi 72:5-7

Muda na Hali ya Utawala

Zaburi 72:5-7
5
Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
6
Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa, kama manyunyu yanyeshayo ardhi.
7
Katika siku zake wenye haki watastawi; mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options