Skip to content
Zaburi 72:1-4

Zaburi 72:1-4

1
Zaburi ya Solomoni. Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako, mwana wa mfalme kwa haki yako.
2
Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
3
Milima italeta mafanikio kwa watu, vilima tunda la haki.
4
Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options