Rukia maudhui
Zaburi 72:18-20

Sifa kwa Mungu na Hitimisho

Zaburi 72:18-20
18
Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa, yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.
19
Jina lake tukufu lisifiwe milele, ulimwengu wote ujae utukufu wake.
20
Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options