Rukia maudhui
Zaburi 70:4-5

Furaha ya Watu wa Mungu

Zaburi 70:4-5
4
Lakini wote wakutafutao washangilie na kukufurahia, wale wapendao wokovu wako siku zote waseme, “Mungu na atukuzwe!”
5
Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji; Ee Mungu, unijie haraka. Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu; Ee Bwana, usikawie.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options