Rukia maudhui
Zaburi 65:9-10

Zaburi 65:9-10

9
Waitunza nchi na kuinyeshea, waitajirisha kwa wingi. Vijito vya Mungu vimejaa maji ili kuwapa watu nafaka, kwa maana wewe umeviamuru.
10
Umeilowesha mifereji yake na kusawazisha kingo zake; umeilainisha kwa manyunyu na kuibariki mimea yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options