Skip to content
Zaburi 65:5-8

Zaburi 65:5-8

5
Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki, Ee Mungu Mwokozi wetu, tumaini la miisho yote ya duniani na la bahari zilizo mbali sana,
6
uliyeumba milima kwa uwezo wako, ukiwa umejivika nguvu,
7
uliyenyamazisha dhoruba za bahari, ngurumo za mawimbi yake, na ghasia za mataifa.
8
Wale wanaoishi mbali sana wanaogopa maajabu yako, kule asubuhi ipambazukiapo na kule jioni inakofifilia umeziita nyimbo za furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options