Zaburi 65:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni; kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa.
2
Ewe usikiaye maombi, kwako wewe watu wote watakuja.
3
Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi, wewe ulisamehe makosa yetu.