Zaburi 64:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
2
Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
3
Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
Settings