Rukia maudhui
Zaburi 59:6-10

Tabia ya Jeuri ya Waovu

Zaburi 59:6-10
6
Hurudi wakati wa jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
7
Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao, hutema upanga kutoka midomo yao, nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”
8
Lakini wewe, Bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.
9
Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe, wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,
10
Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options