Rukia maudhui
Zaburi 51:10-13

Uumbe Ndani Yangu Moyo Safi

Zaburi 51:10-13
10
Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
11
Usinitupe kutoka mbele zako wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.
12
Unirudishie tena furaha ya wokovu wako, unipe roho ya utii, ili initegemeze.
13
Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options