Skip to content
Zaburi 50:7-11

Zaburi 50:7-11

7
“Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema, ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu: Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.
8
Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako, au sadaka zako za kuteketezwa, ambazo daima ziko mbele zangu.
9
Sina haja ya fahali wa banda lako, au mbuzi wa zizi lako.
10
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.
11
Ninamjua kila ndege mlimani, nao viumbe wa kondeni ni wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options