Skip to content
Zaburi 49:7-9

Zaburi 49:7-9

7
Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuukomboa uhai wa mwingine, au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.
8
Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,
9
ili kwamba aishi milele na asione uharibifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options