Skip to content
Zaburi 49:13-15

Zaburi 49:13-15

13
Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe, pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.
14
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari.
15
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options