Skip to content
Zaburi 49:16-20

Zaburi 49:16-20

16
Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka,
17
kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.
18
Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,
19
atajiunga na kizazi cha baba zake, ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.
20
Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu ni kama wanyama waangamiao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options