Rukia maudhui
Zaburi 47:7-9

Zaburi 47:7-9

7
Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote, mwimbieni zaburi za sifa.
8
Mungu anatawala juu ya mataifa, Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.
9
Wakuu wa mataifa wanakusanyika kama watu wa Mungu wa Abrahamu, kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu; yeye ametukuka sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options