Skip to content
Zaburi 47:5-9

Zaburi 47:5-9

5
Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, Bwana kwa sauti za tarumbeta.
6
Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa, mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7
Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote, mwimbieni zaburi za sifa.
8
Mungu anatawala juu ya mataifa, Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.
9
Wakuu wa mataifa wanakusanyika kama watu wa Mungu wa Abrahamu, kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu; yeye ametukuka sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options