Zaburi 46:4-6
4
Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
5
Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
6
Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.