Skip to content
Zaburi 46:4-7

Zaburi 46:4-7

4
Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
5
Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
6
Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
7
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options