Skip to content
Zaburi 46:8-11

Zaburi 46:8-11

8
Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
9
Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
10
“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
11
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options