Skip to content
Zaburi 44:17-19

Zaburi 44:17-19

17
Hayo yote yametutokea, ingawa tulikuwa hatujakusahau wala hatujaenda kinyume na agano lako.
18
Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma; nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.
19
Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options