Skip to content
Zaburi 44:23-26

Zaburi 44:23-26

23
Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala? Zinduka! Usitukatae milele.
24
Kwa nini unauficha uso wako na kusahau taabu na mateso yetu?
25
Tumeshushwa hadi mavumbini, miili yetu imegandamana na ardhi.
26
Inuka na utusaidie, utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options