Rukia maudhui
Zaburi 43:1-2

Ombi la Kutetewa na Wokovu

Zaburi 43:1-2
1
Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu.
2
Wewe ni Mungu ngome yangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options