Rukia maudhui
Zaburi 41:10-12

Ombi la Ujasiri la Wokovu wa Mungu

Zaburi 41:10-12
10
Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
11
Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12
Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options