Inaonyesha mstari 13 pamoja na muktadha unaouzunguka.
10
Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
11
Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12
Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
13
Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele.