Skip to content
Zaburi 41:10-12

Zaburi 41:10-12

10
Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
11
Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12
Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options