Skip to content
Zaburi 41:1-3

Baraka za Kuwahurumia Wanaoteseka

Zaburi 41:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Heri mtu yule anayemjali mnyonge, Bwana atamwokoa wakati wa shida.
2
Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake, atambariki katika nchi na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
3
Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani, atamwinua kutoka kitandani mwake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options