Rukia maudhui
Zaburi 39:12-13

Ombi la Mwisho la Mgeni

Zaburi 39:12-13
12
“Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
13
Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options