Rukia maudhui
Zaburi 30:8-10

Ombi la Uhai na Rehema

Zaburi 30:8-10
8
Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
9
“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
10
Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options