உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Zaburi 25:16-20

Zaburi 25:16-20

16
Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
17
Shida za moyo wangu zimeongezeka, niokoe katika dhiki yangu.
18
Uangalie mateso na shida zangu na uniondolee dhambi zangu zote.
19
Tazama adui zangu walivyo wengi, pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!
20
Uyalinde maisha yangu na uniokoe, usiniache niaibike, kwa maana nimekukimbilia wewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options