Skip to content
Zaburi 26:1-3

Zaburi 26:1-3

1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options