Rukia maudhui
Zaburi 25:12-15

Baraka za Kumcha BWANA

Zaburi 25:12-15
12
Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana? Atamfundisha katika njia atakayoichagua kwa ajili yake.
13
Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake, nao wazao wake watairithi nchi.
14
Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.
15
Macho yangu humwelekea Bwana daima, kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa miguu yangu kutoka mtego.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options