Skip to content
Zaburi 21:2-4

Zaburi 21:2-4

2
Umempa haja ya moyo wake na hukumzuilia maombi ya midomo yake.
3
Ulimkaribisha kwa baraka tele na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.
4
Alikuomba maisha, nawe ukampa, wingi wa siku milele na milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options