Rukia maudhui
Zaburi 2:4-6

Bwana acheka njama yao

Zaburi 2:4-6
4
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options