Skip to content
Zaburi 2:7-9

Amri ya Mungu na mamlaka ya Mwana

Zaburi 2:7-9
7
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options