Zaburi 18:7-9
7
Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya milima ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
8
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
9
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
Settings