Rukia maudhui
Zaburi 18:4-6

Kina cha Dhiki

Zaburi 18:4-6
4
Kamba za mauti zilinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
5
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili.
6
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika mbele zake, masikioni mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options