Skip to content
Zaburi 149:1-2

Zaburi 149:1-2

1
Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
2
Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options