Rukia maudhui
Zaburi 141:3-4

Kulinda Kinywa na Moyo

Zaburi 141:3-4
3
Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
4
Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options