Skip to content
Zaburi 141:1-2

Kumwita Mungu na Maombi Kama Sadaka

Zaburi 141:1-2
1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
2
Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options