Skip to content
Zaburi 141:1-2

Zaburi 141:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
2
Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options