Rukia maudhui
Zaburi 138:7-8

Ujasiri Katika Rehema za Mungu Zidumuzo

Zaburi 138:7-8
7
Nijapopita katikati ya shida, wewe unayahifadhi maisha yangu, unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.
8
Bwana atatimiza kusudi lake kwangu, Ee Bwana, upendo wako wadumu milele: usiziache kazi za mikono yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options